Drama: Mange Kimambi post this after Zari the boss lady give birth

Drama: Mange Kimambi post this after Zari give birth. See the post below:
Hii topic ya Zari kutoka kujifungua and straight supermarket and kubeba mwanae and kupika mwenyewe imenikumbusha kitu cha maana sana that i always meant to share. Nyie wanawake wa bongo mmezoea kujidekeza, mkitoka kuzaa mnakuwa kama viwete 😂..Huku wenzenu ukitoka kuzaa unakuta home watoto wanakungoja, mume anakungoja hakuna ndugu wala dada. Nyambaf utafanya shughuli zote mwenyewe. Ila huyu bibie dizaini kama anaogopa kula chakula cha mama mkwe maana hiyo ya kupika huku mama mkwe kaja kukulea ni kibokoooooo. Zari itakuwa kapewa story za watu wa Kigoma 🙈 . . Sasa naongea umbea mpaka nasahau point..😂. Anyways point yangu ni kwamba msimshangae Zari kuwa poa hivyo. Mwanamke aliezaa watoto zaidi ya wawili hachanikiiiii wala hana nyuzi. Hata kupush kwenyewe hupush kivile unakohoa tu 😂.Seriously mimi Keanu sikuamini nilihisi nimemkohoa tu..😂😂. Seriously nilipush mara 5 tu labda mtoto huyoooo. Ila baada ya pale I knew I needed help down there...😂. . Labda hamjui ila one of the most popular plastic surgeries in the US ni vaginoplasty..Mimi nakushauri mwanamke uliezaaa more than 2 kids kuliko utengeneze maziwa sijui pua sijui shepu aiseee katengeneze K..😂. Siku ukijikuta unazaaa alafu hapo hapo unaanza kukimbia it means hukuchanika kitu ambacho kinamaanisha huko chini umekuwa kama bahari ya hindii 🙈.Seriously ukiweza pitisha binadamu down there bila nyuzi ni muda wa vaginoplasty 😂 . . Asikwambie vaginoplasty is the best plastic surgery procedure ever invented for women. Uwiiiii unakuwa kama mtoto wa miaka 15. Like hujapata zaaa au labda even tigher than. Yani jimama la miaka 40 na watoto hata 10 utawakimbiza mateenager..Yani mtu akilogwa akagusa uwiiii umemkamataa.... . . Forget kegels.Kuna stage ukishafika utafanya kegels usiku na mchana K iko vile vile. Kama unaogopa surgery kuna Thermiva na yenyewe ni nzuriiiii mama weeee tena hiyo inatibu na uzee wa K. Outside of your K will look like pipi💋. . . The best part is Thermiva or vaginoplasty isnt just for him its for you too... You will be suprised how great sex can be for you too when your pussy is size 0 instead of size 18 and you can feel every inch of your man...🙈🙈💃
A photo posted by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on

Leo kila mtu kawa na K ndogo kwenye comments wenye K kubwa wako DM wananisumbua na maswali 😂😂😂.... Jamani sina muda wa kujibu mtu mmoja mmoja maana sasa itabidi nishinde insta... Pls soma hapa basi, kama una swali fungua fake account uliza hapa Ntajibu ila kuanza kuchat na mtu mmoja mmoja DM sitaweza kwa kweli.. . . Wewe ulieandika hii comment unajijuaje we ni tight??? 😂Evidence ya kwamba wewe sio tight ni moja tu. Mtoto wa kwanza ulipigwa nyuzi, labda na wapili, huyo wa wa tatu Im sure hujapigwa nyuzi. Now jiulize why wa tatu kachoropoka tu ndo utajijua you are not tight anymore.🙈 Sasa zaa na wa nne ukichelewa hospital waweza zalia kwenye gari 😂😂 . . Anyways bila hata kuzaa K huwa inalegea na kuachia naturally sababu ya umri wala sio kubadilisha wanaume.. Hakuna sayansi inayosema eti kubadilisha wanaume makes your K big...... The older you get the looser your K gets with or without kids. Ila waliozaa inakuwa times 100😂... . . Alafu inachekesha wengi wanaosema wamezaa ila wako tight evidence yao ya kuwa tight eti ni sababu wanaumia during sex. Hata mwanamke mwenye rambo anaumia during sex ikiwa hakuandaliwa vizuri... Alafu wanawake wengi wa TZ they dont know their own bodies, wengi wanadhani kuumia during sex means they are tight. Wengine wana yeast infections or other problems hajijui yeye anahisi thats how sex is supposed to be so all the time during sex anakakamaa mwili mzima kwa uwoga then anajiambia anaumia coz she is too tight, no bitch go the doctor.If msichana wa miaka 14 can have sex with a grown man na asiwe tight mpaka aumie wewe kibibi kagula unaumia vipi? Unamagonjwa yako au jamaa hakutaharishi thats why. . . K imeumbwa kurudi yenyewe ukishazaa but it will never go back kama before. Inarudi kwa kiasi fulani.. 90% of the time mumeo akicheat utakuta anacheat na msichana mdogo ambae hajazaaa. Hardly utakuta jamaa anakucheat na mwanamke mwenye watoto wengi zaidi yako au mwanamke mzee zaidi yako. . . Na nyie wanaume mnaosoma hapa kama unampenda mkeo kuliko kwenda nje kumcheat sababu kakuzalia watoto au sababu ya umri K imekuwa kubwa. Kuliko kuanza kutoka nje ya ndoa mwambie ukweli mkeo alafu mtafute solution pamoja..
A photo posted by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on
Hata uzae kwa operation hata kama hujawahi kuzaa ukifika late 30s mwili unalegea uzee unaanza kuja.... Same with K. Ila waliozaaa ndo wanakuwa balaa zaidi.... . . Yani inshort hata kama hujawahi kuzaaaa do that shit, it will change your life. Ila kama hujawahi kuzaa do Thermiva, hiyo sio operation ni procedure unafanyiwa na same day uko poa... But lazma ufanye 3 times. once a month mpala zifike mara 3. If your K looked ya 50 year old woman inarudi kuwa ya 20 year old woman. Seriously you can look 40 on your face and your K looks 20... And you will experience organisms za balaaa through thermiva.. . . Ila kama ushazaaa more than 2 kids fanya vaginoplasty hiyo inapambana na mito au bahari za ukubwa wowote ule 😂😂 . . Hivi hamjiilizi why tulivyokuwa younger in our 20s or kwa wale walioanza kugawa mapema in their teens tulikuwa hatulalamiki kuhusu vibamia... Seriously .. Embu tafuta mtoto wa miaka 16,17 or 18 anaelalamikia vibamia.. Hakunaaa... Ila uliza vibibi gagula waliopita 30, awe amezaaa au hajazaaa lazma ana malalamiko ya vibamia... Its us most of the time... just fix that K... Mara nyingi mwanamke anaelalamika kibamia yeye ndo K yake imekuwa bahari... Mi huwa nawachora tu wanaolalamikiaga vibamia huku mtu keshazaaa hajioni hata kuwa labda tatizo ni lake🙈🙈 . . Mnaouliza madhara mi siwaelewi.... Its plastic surgery ofcourse kuna side effects zake. Kuna kitu gani duniani hakina madhara yake? Hata kuzaa tu kuna madhara yake na watu bado wanazaaa kila siku... Just do it... You can thank me later... If you die, it was just your time..lol . . . . The reasons hii surgery haiongelewwi sana ni kwamba kila mtu anataka kujifanya ni maumbile yake maana hubaki na alama yoyote down there... So wanawake wengi wanakaa kimya wanajifanya ndo wamezaliwa hivyo.hata shogako besti unakaa kumshangaa mbona we mzuri zaidi yake ila mijaume inamng'ang'ania balaaa huelewi 😂😂😂😂😂😂 . . Huyu doctor ndo kiboko kwa hii surgery @Dr.matlock .....Huyu anakuuliza kabisa uchague size ya tundu unalotaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.... Na anakutengenezea hilo hilo tundu uende kubana watoto wa watu mpaka watangaze ndoa 😂😂😂😂😂😂........ . . Nyambaf mpaka Doctor nimewapeni..
A photo posted by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on
Im glad I helped you. Usikae ukadhani anatembea nje au ana wanaume wengine. Hakuna sayansi inayosema kuwa mwanamke aliebadilisha wanaume na K inakuwa kubwa. huyo ndo alivyoumbwa..... Sayansi inasema mwanamke aliezaaa au alie na umri mkubwa ndo anaekuwa na K kubwa...... . . Statistics have it kuwa black women have the biggest Ks and black women wanazaa kiurahisi zaidi. This is because they have wider hips.... Mwanamke mwenye hips kubwa sana mara nyingi na K ni kubwa. Hata awe kembamba but kama ana hips na K ni hivyo hivyo hata kuzaa ana zaa kirahisi zaidi...... Wanawake wenye hips wana njia kubwa zaidi. Period. . The tightest women in the world are asian women. Chinese, japanese hao yani balaaa K zao... Very very tight. Seriously uliza wanaume waliokula wanawake wa kichina au kijapani and so forth.... . . About wanawake wanene kuwa na K ndogo i think ni kama sehemu yoyote ya mwili. Ukiwa mwembamba ziwa litalala kama ndala ukinenepa linajaa linakuwa zuri au hata sura ukikonda sana sura inashuka inazeeka ukinenepa sura inajaaa unakuwa mzuriiii na ndo maana watu wengi vibonge huwa wana sura nzuriiiii.......ni mafuta tu yanajaa kila sehemu yanabana mambo😂😂😂😂. But if you ask me sometimes ni yale maunene tu mwanaume anaweza hata asifike ndani kabisa maana anapitaje manyama yamebana mapaja..? Anabanwa kwenye mapaja tu anahisi kibonge ana K ndogo... Hamna kitu bwana..... Mtu mnene kupanua mapaja mpaka mwisho ni kazi.😂😂😂
A photo posted by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on
Share on Google Plus
    Facebook Comment
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment